Tuesday, December 31, 2013

NI KATIKA KUWATAKIA WADAU WOTE WA ITIKA KHERI YA MWAKA MPYA 2014;

Kuna kila sababu ya kutakiana kila lililo la kheri mwaka huu mpya unaoanza soon...

OMBI Langu kwenu-----kama kuna jambo ulikosea 2013 usijilaumu sana ila usirudie tena kutenda hilo jambo maana mungu amekupitisha hapo kwa makusudi yake....

No comments:

Post a Comment