Friday, December 27, 2013

WATU WANAZIDI KUBUNI VITU HII NI MELI AMBAYO ITAKUWA MJI MKUBWA UNAOELEAA MAJINI


 Hii ni moja kati ya mwonekano wa meli hiyo ambayo itakuwa na kila kitu ambacho kinapatikana katika mji wowote ulioendelea.
Ni kazi hasa wabunifu wetu mpo wapi...acheni kutujengea majengo kama ya kaliakoo ambayo ni hatari kwa maisha yetu.....

No comments:

Post a Comment