Hongera sana mheshimiwa rais,unastahili pongezi kubwa katika hekima hiyo uliyoionesha kwa wananchi wa tanzania,hata wale waliokuwa na misimamo yao hasi,basi lazima tuwe na utayari wa kukubaliana katika mambo kadha wa kadha yahusuyo mstakabari wa nchi yetu......LIPUMBA,MBOWE,MBATIA,jitihada zenu ni kubwa na njia yenu imeonekana,
No comments:
Post a Comment