Sunday, October 13, 2013

KIOO CHA KWELI CHA DUNIA, NDUGU NYERERE MPENDWA WETU 14 YRS OUT OF US

Hakuna sababu yoyote ambayo kiongozi wa leo wa dunia hii hasa afrika ambaye hawezi kutambua na kuona mchango wa hayati mwalimu nyerere.
 Mosi-lugha yetu ya kiswahili n i lugha ambayo inazungumzwa na mataifa mengi kwa sasa ni moja kati ya lugha kubwa afrika;;;;nyerere.
  Mbili-zaidi ya makabila 120 ambayo yalizungumza lugha zao na kuwa na tamaduni zao,wameheshimu umoja wa kitaifa.nyerere
   Tatu-tulipewa heshima yetu na pia mataifa makubwa yote waliijua tanzania kwa misimamo yake...nyerere
    Nne--Alijenga shule na hospitali za watanzania wote bila kujali rangi,itikadi wala vyeo vyao-nyerere
KILA KITU KITAPITA TUU ILA UKWELI ULIOSIMAMIWA NA MWANADAMU MWENYE UPENDO WA KWELI UTADUMU DAIMA......HONGERA MWALIMU

No comments:

Post a Comment