Hakuna sababu yoyote ambayo kiongozi wa leo wa dunia hii hasa afrika ambaye hawezi kutambua na kuona mchango wa hayati mwalimu nyerere.
Mosi-lugha yetu ya kiswahili n i lugha ambayo inazungumzwa na mataifa mengi kwa sasa ni moja kati ya lugha kubwa afrika;;;;nyerere.
Mbili-zaidi ya makabila 120 ambayo yalizungumza lugha zao na kuwa na tamaduni zao,wameheshimu umoja wa kitaifa.nyerere
Tatu-tulipewa heshima yetu na pia mataifa makubwa yote waliijua tanzania kwa misimamo yake...nyerere
Nne--Alijenga shule na hospitali za watanzania wote bila kujali rangi,itikadi wala vyeo vyao-nyerere
KILA KITU KITAPITA TUU ILA UKWELI ULIOSIMAMIWA NA MWANADAMU MWENYE UPENDO WA KWELI UTADUMU DAIMA......HONGERA MWALIMU
No comments:
Post a Comment