Saturday, October 12, 2013

HAWA JAMAA NI WATU MHIMU SANA KATIKA NCHI YETU YA TANZANIA,Lakini kuna mambo ambayo yanatuchanganya sana raia wa kawaida ,waziri mkuu unacheo kikubwa sana kimaamuzi katika nchi hii.,sasa basi kazi ya waziri mwenye dhamana na ujenzi ni ipi?kwa sababu bwana pombe amesema yake na bwana mtoto wa mkulima umesema yako.
      Mnatuchanganya ile mbaya kuweni kama watu wenye ushirikiano wa kimantiki kabisa katika maamuzi yenu.mnatoka chama kimoja ,selikali moja,mwenyekiti wenu mmoja mr jakaya,wote mnaingia kutunga sheria na pia mnakutana kuwekeana viapo vya siri juu ya kulinda taifa letu......HII HAIJAKAA SAWA NA PIA HAIJENGI CHAMA CHENU NA INATOA UHALALI WA KUENDELEA KUWA MAWAZIRI KATIKA SERIKALI HII...MAANA HAMELEWANI,,,,

No comments:

Post a Comment