Katika hali ambayo inaonekana kama tekinolojia inachukua nafasi ya mungu kwa kiasi fulani inaendelea kujitokeza ..wanandoa fulani nchini marekani baada ya kukaa kwa zaidi ya miaka mitatu bila kupata mtoto na baada ya vipimo ikagunduliwa kwamba haitakuwa rahisi kwao kupata mtoto ni hiki hapa walichokifanya,,
Baada ya kuona hivyo wakafanya utaratibu wa kupandikiza mimba ambayo tayari ilikuwa imeshaanza kukua katika tumbo la uzazi wa binti yake na akapandikiziwa mama mzazi wa binti huyo kwa mkataba maalumu na mtoto huyo ambaye anatarajiwa kuwa binti atazaliwa mwezi ujayo yaani mwezi wa pili 2014
je watanzani utaratibu huu ukipitishwa hapa kwetu upendo utaongezeka au utazidi kupoa.....lakini pia je mbele ya mungu hii ni saw?
No comments:
Post a Comment