Wednesday, February 12, 2014

AHADI NI DENI ,VIONGOZI WA TAIFA HILI LA TANZANIA LAZIMA WAWE NA HURUMA

NIGONGEE-Tunazungumza dili zetu kwa lugha zetu wenyewe 2014 tunaamkia popote;;;na leo tumeamkia MABWEPANDE

SIO NAHUTUBIA MKUTANO,HII NI MOJA KATI YA KAZI YA JAMII TUIFANYAYO.

ALEX-akiongea na wakazi wa mabwepande wakieleza jinsi ambavyo hali yao ilivyo,hii ilitupa wakati mgumu sana kuamini kile ambacho tulikiona pale,kama kweli mazingira kama yale binadamu anaweza kuishi...INASIKITISHA  .VIONGOZI-,MKUU WA WILAYA,MKUU WA MKOA NA MBUNGE WAO LAZIMA WAWAJIBIKE KWA HILI

No comments:

Post a Comment