HII siyo saa tu kama ambavyo unaweza kuiona na kuiacha kama ilivyo.hii ni milo minne mhimu kwa afya ya binadamu kama unataka kuwa na afya njema basi lazima ufuate ulaji huu ili mwili uwe na afya pamoja na madini yanayotakiwa, kama ambavyo muumba wa mbingu na dunia alikusudia tangu uumbaji wake.... |
No comments:
Post a Comment