Lakini je hizi hapa chini diyo sababu ya ndoa nyingi za vijana wa leo kuvunjika?
1-Umri wao unakuwa bado mdogo?
2-Maadili yao hayako sawa?
3-Matarajio yao yanakuwa nje ya uwezo wao?
4-Utandawazi unarubuni bongo zao?
5-Wanatamani uhuru zaidi?
6-Wanakwepa majukumu yao kama wana ndoa?
7-Hawakuwa tayari kuingia kwenye ndoa?
8-Tamaa za kimwili ziliwalaghai?
9-Matatizo ya kiuchumi?
10-Ndoa zao zinajengwa na akili zao na si mungu?
Toeni maoni yenu wakuu ili tuone nanma ya kutoka hapa tulipo kama jamii....kwa sms 0756 787 089
![]() |
WADADA WA LEO |
No comments:
Post a Comment