Ndugu zangu!
Kuna jambo ambalo linaendelea kwa majirani zetu hapa sudani ni jambo ambalo limeteka vyombo vingi vya habari duniani,
Na jambo lenyewe ni la huyu dada ambaye amezaliwa na mama mkristo na baba muislam mwenye asili ya sudani na mama mwenye asili ya ethiopia.
Amekuwa makubwa akaamua kufanya maamuzi yake mwenyewe ya kuwa mkristo na kufunga ndoa na huyu jamaa raia wa marekani mwenye asili ya sudani kusini ambako asilimia kubwa wa raia wake katika taifa hili changa ni wakristo na huku sudani kaskazini asilimia kubwa ni waislam na nchi yao wanaiongoza kwa sharia,
Lakini je swali linakuja.HIVI DINI ZETU HIZI ZINAZO HAKI YA KUBEBA HAKI ZETU ZOTE NA UTU WETU???/
No comments:
Post a Comment