Saturday, October 15, 2016

matendo siku zote hayana nyongeza

  Salam!
       napenda kutumia fursa hii kusema na ndugu zangu jambo moja mhimu sana ambalo litatusaidia kwa namna moja ama nyingine kuweka ubora halisi wa maisha yetu,
    Kila binadamu hutenda jambo,lakini kabla ya kutenda huaza kwa kina au huwaza kawaida na hatimaye hutenda.leo nataka mtu ajue kwamba ukitaka kutenda jambo fikiri mara mbili maana katika matendo hakuna nyongeza ya tendo,ukitenda subiri matokeo yake no way out.
  Na matokeo haya yanaweza kuwa matokeo chanya au matokeo hasi,maana maisha hayana majaribio vile ulivyoamua leo ndiyo maisha yenyewe,so chunga sana mawazo yako ambayo ndiyo yatakupelekea utende.

No comments:

Post a Comment