Habari za ujenzi wa dunia jamani,
Vipo viyu ambavyo ukiangalia sana unaona kuna kila sababu ya sisi kama watanzania kuwa na macho ya zaidi ya haya tuliyo nayo...kuna mambo yanatokea ukiyatafakari kwa kina unaona kunastofahamu nyingi mno zinazo acha maswali mengi sana vichwani na mioyoni..
Sina hakika kama tutafika vema safari yetu kama watawala hawatakuwa na ile hali ya kwenda na wakati uliopo na tunaposema wakati uliopo tunazungumzia MABADILIKO CHANYA
No comments:
Post a Comment