Luka 9;23--mtu yeyote anayetaka kuwa mfuasi wangu, ni lazima ajikane nafsi yake,auchukue msalaba wake kila siku, anifuate
![]() |
SIYO DHAMBI KUWA NA MALI LAKINI JE MASIKINI ANASEHEMU GANI KATIKA UPENDO WA AGAPE NA MAISHA YAKO YA KILA SIKU EWE MTUMISHI WA MUNGU?hii ni fahari ya kimungu au fahari ya kibinadamu;... |
![]() |
Huyu ni mchungaji mkubwa sana MAREKANI----Kama unapenda kuwa mkamilifu,nenda kauze mali yako uwape masikini hiyo fedha,nawe utakuwa na hazina mbinguni,kisha njoo unifuate(MATHAYO 19;21) |
![]() |
Mbweha wana mapango,na ndege wanaviota;lakini mwana wa mtu hana mahala pa kupumzika(MATHAYO 8;20) |
![]() |
HILI NI MOJA KATI YA MAENEO AMBAYO YANAWAKILISHA UMASIKINI WA KUTUPWA NCHINI INDIA, |
No comments:
Post a Comment