![]() |
RAIS WA UGANDA....amemwambia obama kwamba yeye haogopi kitu mbele ya kutetea utaifa wake pamoja na utamaduni wake pia amemwambia kwamba yeye si general wa darasani bali ni askari wa msituni |
![]() |
HII NDIYO ALAMA YA TAIFA LA UGANDA AMBAPO OBAMA ANATAKA UTAMADUNI WAO UCHAKACHULIWE; |
No comments:
Post a Comment