Tuesday, June 17, 2014

HUYU NDIYE ANAYE KUTESA NA HOFU YA UKIMWI---DR ROBART GALLO

Habari,
     katika dunia ya leo kila mmoja wetu huenda amepata madhara ya moja kwa moja au kwa ndugu na jamaa  zake kuhusu tatizo hili la ugonjwa wa ukimwi ambalo kuna binadamu mwenzetu alitengeneza,

     Mnamo 1971 nchini marekani kuna daktari mmoja anayetambulikana kwa jina la Robert gallo aliandika kitu kinachoitwa (1971 special virus paper)kwenda kwa  U.S SPECIAL VIRUS PROGRAM hiki ni kitengo maalum katika serikali ya marekani.baada ya kupeleka andiko lake katika serikali yake,serikali ilikubali kudhamini mradi huo,na kama ulikuwa hutambui tambua leo marekani hawezi kudhamini kitu ambacho hakina masilahi kwake.
  
     Lengo la mradi huo ilikuwa na kupunguza ongezeko la watu duniani hasa watu weusi,na lengo lao ilikuwa katika bara la Afrika na Manhatan huko huko kwao marekani ambako kuna idadi kubwa ya watu weusi kwa nyakati hizo.

 Na hatimaye 1984 bwana Robert gallo akatangaza rasmi kazi yake ya maabara iliyodumu kwa takribani miaka 3 na hatimaye kikatokea kitu kinachoitwa H.I.V.

   Tangu hapo mpaka leo gonjwa hili la kutengenezwa limeua idadi kubwa sana ya raia wasio na hatia,bado lengo lao halijakamilka, likikamilika watajua cha kufanya tena, ni mtu huyu mmoja ndiye anayejenga hofu kwa watu bilion saba na kweli jaribio lake limeshinda kututia hofu na kutoa roho zetu.

    Kama binadamu hutakiwi kukata tamaa,kila siku lazima ujifunze na uwe tayari kufanya mabadiliko katika maisha yako,hiv ipo inaua watu na ukishindwa kuwa makini na maisha yako na wewe pia utakufa kwa mateso makubwa sana.tunao wasomi hapa kwetu ambao hata uwezo wa kupambanua mambo kisayansi hawawezi na kila siku tunaletewa dawa na majibu ya matatizo yetu na watu wale wale ambao tatizo lenyewe wamelitengeneza wao kwa faida zao.
            Baadala ya kuwa wapokeaji tu lazima tuwe na uwezo wa kuhoji haya mambo kisayansi,kupata ukimwi au kuteketea na janga hili kunatokana na TABIA,tabia zetu za kupuuza na kutopenda kuhoji mambo ndiko kunapelekea ndugu zetu kuangamia.....KAMA WEWE NI MSOMI HASWA,BASI BADILISHA DUNIA KWA FANI YAKO
DR.ROBERT GALLO


muda ni sasa  jenga taifa lako
DR. ROBART GALLO

No comments:

Post a Comment