Tuesday, June 17, 2014

NEW WORLD ORDER''' INAKULAZIMU UPATA UNDANI WAKE BILA CHEMBE YA HOFU

16 JUNE 2014,

       Habari yako ndugu msomaji wa blog hii,natumaini uu mzima wa afya njema na mungu wangu akubariki sana kwa kuamua kusoma habari hii,

       Hii si habari ngeni sana katika masikio yako na kama ni habari ngeni ,basi vuta pumzi na ujiweke tayari kiakili ili ubongo wako upate chakula,new world order huu ni mpango kabambe wa kuhakikisha dunia inakuwa moja kwa matakwa yao wenye mpango wao,kwa hiyo mabadiliko yote haya unayoyaona katika sayansi na jamii ni ukamilifu wa mpango huo.

      Haya si maoni ya dini fulani la hasha bali ni mpango kazi unaotekelezwa na watawala wa dunia wenye nguvu bila hata jamii yenyewe kujua kwa kina mantiki ya mpango huo,lengo langu ni kutaka kukuhimiza kwamba haya si majira ya kupuuza mambo ni majira ya hatari sana ambayo yanakulazimisha kujua kila nukta ya maendeleo ya dunia hii,maana tulipofika ukiacha mbali mafundisho ya imani zetu lakini hata wanasayansi na watawla wa dunia hii wanakiri kwamba dunia si mahala salama kwa maisha ya binadamu tena.

     NEW WORLD ORDER---kwa akili zao, wameweka mpango huu ambao unatekelezwa kwa ghalama yoyote ili kuwaaminisha wanadunia kwamba wao ndiyo wanayo majibu ya matatizo ya dunia hii,ambapo si sahihi.dhana hii imeanza kukubaliwa na watawala wetu,wanajamii wetu bila kujua madhara yake ni yapi baada ya kitambo kidogo,maana daima hakuna mpango wa binadamu uliosahihi kinyume na mungu muumba wa mbingu na nchi,
        JIULIZE

      Kwa nini kuna atm card,digital,umoja wa ulaya,vita za wakati wote,mashinikizo ya kishoga ,na mengine mengi,,,,LENGO LAO NI KUUNDA DUNIA MPYA WAITAKAYO,uwezo wa kupambana kimwili huna ila soma ili ujue kinachoendelea duniani
PICHA  NO 1

HIVI DIVYO DUNIA ITAKAVYOKUWA

No comments:

Post a Comment