Mahakamu
kuu kitengo cha ardhi,imetoa agizo kwa serikali kusitisha bomoabomoa iliyokuwa
inaendelea mpaka mchana wa tarehe wa leo 5/01/2015 katika mitaa ya magomeni na
kinondoni,mpake kesi ya msingi ifikie uamuzi.
Kwa mtazamo wangu mahakama imefanya kazi
yake vizuri,lakini kesi yenyewe ya msingi
na madai yake kiukweli si ya msingi kisheria,madai ya raia hawa wahanga
na mbunge wao wa kinondoni kwa tiketi ya cuf, yanapunguza makali ya tukio
lenyewe lakini si msingi wa kuzuia zoezi,
Hoja yao ya kwanza wananchi wapewe muda wa
kujiandaa,hoja ya pili watu wapewe maeneo mbadala ya kuishi ili wapishe zoezi
kuendelea.
Kwa hoja hizi maana yake wakazi wenyewe
wanajua maeneo wanapoishi si maeneo halali na si salama kwa maisha yao pia, kwa
hulka ya serikali hii ya hapa kazi tu I hope zoezi lao litaendelea maana hata
rais wetu si rafiki sana na justice.
Lakini pia hili zuio halina urafiki na
maeneo mengine yaliyowekwa x na yanayoendelea kuwekwa x katika jiji la dar es
salaam na kwingineko.
LET’S KEEP ON WAITING GUY'S ONFIRE.
No comments:
Post a Comment